1 Kings 8:1

Sanduku La Agano Laletwa Hekaluni

(2 Nyakati 5)

1 aKisha Mfalme Sulemani akawaita mbele zake huko Yerusalemu wazee wa Israeli, viongozi wote wa makabila na wakuu wa jamaa za Waisraeli, ili walilete Sanduku la Agano la Bwana kutoka Sayuni, Mji wa Daudi.
Copyright information for SwhKC